![]() |
Kocha mkuu Mwangasame na Baadhi ya wachezaji Tunduma city U17. |
Fainali ilifanyika siku ya jumapili katika uwanja maarufu wa shule ya msingi Tunduma ikiwakuta nisha Tunduma city wenyewe na Stone city zote zikiwa Academy Mpira huo uliamuliwa kwa matutaa baada ya matokeo ya kwa ya uwanjani kutoka suruhu ya goli 2 - 2.
Tunduma city Academy iliibuka kwa kupata mikwaju 3 kwa 2 dhidi ya wapinzani wao Stone city na kupata kombe lenye thamani ya 150,000Tsh.
![]() |
Baadhi ya wachezaji Tunduma city U17 wakijiandaa na mechi hiyo |
![]() |
Jumannne Mwangasame |
![]() |
Mchanganyiko wa Kikosi cha wakubwa na U17 |
xn mafundi zng...... Tudumixhe upendo tu kwan
ReplyDeleteni mbali tumetoka