Wasifu Wa Issa Kabuka Kama Mchezaji Na Miongoni Mwa Waanzilishi Wa Tunduma City Academy | Tunduma City Academy

Monday, 6 July 2015

Wasifu Wa Issa Kabuka Kama Mchezaji Na Miongoni Mwa Waanzilishi Wa Tunduma City Academy


issa kabuka

 Issa Kabuka ni miongoni mwa wachezaji wa Tunduma city academy tangu mwaka 2009 mwezi wa tano kipindi timu ikiwa inanzishwa chini ya Kocha Mkuu Jumanne Mwangasame.



Miongoni mwa jezi zenye jina lake
 Nafasi yake katika timu ni mlinzi wa namba zote kuanzia namba 2 na  mpaka 5,ila namba 2 na 3 ndizo zilizompa mafanikiwo ya kumfikisha katika michuano ya U17 Copa coka cola mwaka 2012 chini ya Mkoa wa Mbeya pamoja na makocha wao Makka Mwalisi pamoja na Michael.


Issa kabuka/ Tunduma city academy


 Licha ya kuwahi kushika nyazifa mbali mbali za uongozi katika timu hiyo ikiwemo Unahodha pamoja na usemaji mkuu wa timu na kushirikishwa katika mambo ya ushauli, Issa Kabuka ni miongoni mwa wachezaji wenye nidhamu,upendo na timu pamoja na kujituma uwanjani.













2 comments: