Picha 9 Za Kikosi Cha Tunduma City Academy kilicho angamiza 9 - 0 Mbele Ya Majengo Fc Chini Ya Kocha Mkuu Jumanne Mwangasame. | Tunduma City Academy

Thursday, 20 August 2015

Picha 9 Za Kikosi Cha Tunduma City Academy kilicho angamiza 9 - 0 Mbele Ya Majengo Fc Chini Ya Kocha Mkuu Jumanne Mwangasame.

Kikosi kilicho angamiza 9 - 0 mbele a Majengo Fc Katika uwanja wa Shule ya msingi Tunduma ndani yaligi ya UMIT CUP
.  Kutoka kushoto kwa walio simama Emanuel Mwaitege, Erasto(Mashebi),Dinho, Rombe, Kelvin na mpoki, upande wa  walio chuchumaa kutoka kulia Golikipa Teddy,Kamwambi, Kelvin Sanga,Ramadhan akifuatia na Maneno.



Mara baada ya mapumuziko wakijaribu kuvua viatu ili miguu ipumue huku wengine wakiendelea kupata mawaiza

Akiwa katika ukaguzi Kelvin Sanga







0 comments:

Post a Comment