September 2015 | Tunduma City Academy

Saturday, 12 September 2015

Kikosi Cha Mauaji Kilipokuwa Kinaingia Dimbani Na Moja Kati Ya Mechi Katika Mzunguko Wa Makundi...

Kocha Mkuu Jumanne Mwangasame kulia akimkabidhi jezi mchezaji wake Kelvin Sanga maarafu kama Ramines,Kwambali anaonekana kocha msaidizi ndani ya jezi nyeupe Michael akiwa na Mchezaji wake Kamwambi kabla ya mechi.