August 2015 | Tunduma City Academy

Thursday, 20 August 2015

Picha 9 Za Kikosi Cha Tunduma City Academy kilicho angamiza 9 - 0 Mbele Ya Majengo Fc Chini Ya Kocha Mkuu Jumanne Mwangasame.

Kikosi kilicho angamiza 9 - 0 mbele a Majengo Fc Katika uwanja wa Shule ya msingi Tunduma ndani yaligi ya UMIT CUP
.  Kutoka kushoto kwa walio simama Emanuel Mwaitege, Erasto(Mashebi),Dinho, Rombe, Kelvin na mpoki, upande wa  walio chuchumaa kutoka kulia Golikipa Teddy,Kamwambi, Kelvin Sanga,Ramadhan akifuatia na Maneno.