July 2015 | Tunduma City Academy

Monday, 6 July 2015

Wasifu Wa Issa Kabuka Kama Mchezaji Na Miongoni Mwa Waanzilishi Wa Tunduma City Academy


issa kabuka

 Issa Kabuka ni miongoni mwa wachezaji wa Tunduma city academy tangu mwaka 2009 mwezi wa tano kipindi timu ikiwa inanzishwa chini ya Kocha Mkuu Jumanne Mwangasame.

Moja ya wachezaji wa Tunduma city academy wakijianda na Ligi ya UMIT CUP katika mji dogo wa Tunduma iliyoanza tangu tarehe 20/6/2015


Baadhi ya wachezaji wa Tunduma city wakiwa katika uzi wa timu teyari kuingia katika dimba.anayeonekana mbele ya picha ni mlinda lango Zabron Charles,Haji Bensoni ndani ya Unahodha, Andrew Sikanyika katika maongezi na Denis Kamwambi