Marehemu Enock Sikaonga maarufu kama Dinho alipatwa na umauti tarehe 20 - 8 mwaka 2017 siku ya Jumapili majira ya saa Tisa alasiri akiwa nyumbani akiendelea bado na matibabu muhimu. Ni mara Baada ya kutoka hospitali ya Ikonda Njombe kutokana na matatizo ya Vidonda shingoni, Kuiishiwa nguvu na magonjwa nyemelezi.
Friday, 8 September 2017
Historaia Ya Enock Sikaonga Maarufu Kama Dinho Katika Ulimwengu Wa Soka.
Marehemu Enock Sikaonga maarufu kama Dinho alipatwa na umauti tarehe 20 - 8 mwaka 2017 siku ya Jumapili majira ya saa Tisa alasiri akiwa nyumbani akiendelea bado na matibabu muhimu. Ni mara Baada ya kutoka hospitali ya Ikonda Njombe kutokana na matatizo ya Vidonda shingoni, Kuiishiwa nguvu na magonjwa nyemelezi.
Monday, 25 January 2016
Tunduma City Mabingwa Ligi Ya U17 Tunduma Chini Ya Kocha Mkuu Jumanne Mwangasame.
![]() |
Kocha mkuu Mwangasame na Baadhi ya wachezaji Tunduma city U17. |
Fainali ilifanyika siku ya jumapili katika uwanja maarufu wa shule ya msingi Tunduma ikiwakuta nisha Tunduma city wenyewe na Stone city zote zikiwa Academy Mpira huo uliamuliwa kwa matutaa baada ya matokeo ya kwa ya uwanjani kutoka suruhu ya goli 2 - 2.
Labels:
Jumanne Mwangasame,
Wachezaji
Saturday, 12 September 2015
Kikosi Cha Mauaji Kilipokuwa Kinaingia Dimbani Na Moja Kati Ya Mechi Katika Mzunguko Wa Makundi...
Thursday, 20 August 2015
Picha 9 Za Kikosi Cha Tunduma City Academy kilicho angamiza 9 - 0 Mbele Ya Majengo Fc Chini Ya Kocha Mkuu Jumanne Mwangasame.
Labels:
Aggrey Sawala,
Dinho,
Emanuel Mwaitege,
Erasto,
Heri Mwakatobe,
Jumanne Mwangasame,
Kamwambi,
Kelvin,
Kelvin Sanga,
Maneno,
Mpoki,
Ramadhani,
Teddy
Monday, 6 July 2015
Wasifu Wa Issa Kabuka Kama Mchezaji Na Miongoni Mwa Waanzilishi Wa Tunduma City Academy
![]() |
issa kabuka |
Issa Kabuka ni miongoni mwa wachezaji wa Tunduma city academy tangu mwaka 2009 mwezi wa tano kipindi timu ikiwa inanzishwa chini ya Kocha Mkuu Jumanne Mwangasame.
Moja ya wachezaji wa Tunduma city academy wakijianda na Ligi ya UMIT CUP katika mji dogo wa Tunduma iliyoanza tangu tarehe 20/6/2015
Subscribe to:
Posts (Atom)